• HABARI MPYA

    Saturday, July 22, 2017

    BATSHUAYI APIGA MBILI...CHELSEA YAIPARUA ARSENAL 3-0 CHINA

    Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 42 na 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Taifa wa Beijing, China kwenye mchezo wa kirafiki. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Willian dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI APIGA MBILI...CHELSEA YAIPARUA ARSENAL 3-0 CHINA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top