Winga Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 20 kufuatia Mualgeria Islam Slimani kuifungia la kuongoza Leicester City dakika ya 12 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Liverpool ilishinda 2-1, bao lake la ushindi likifungwa na Mbrazil Philippe Coutinho dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Posts Video Shadowboxing with Shannon Briggs in NY Before Jake
Paul Fight
-
Mike Tyson is hard at work preparing for his upcoming bout with Jake Paul.
The former heavyweight champ posted a video of himself shadowboxing with
Shannon…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment