Winga Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 20 kufuatia Mualgeria Islam Slimani kuifungia la kuongoza Leicester City dakika ya 12 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Liverpool ilishinda 2-1, bao lake la ushindi likifungwa na Mbrazil Philippe Coutinho dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England fans have 'every right to be annoyed, I made terrible mistake' -
Brook
-
Harry Brook says supporters have “every right to be annoyed” by his
behaviour after he was punched by a nightclub bouncer on England’s tour of
New Zealand ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment