Winga Mmisri Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kusawazisha dakika ya 20 kufuatia Mualgeria Islam Slimani kuifungia la kuongoza Leicester City dakika ya 12 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Ligi Kuu Asia leo Uwanja wa Hong Kong mjini Hong Kong, China. Liverpool ilishinda 2-1, bao lake la ushindi likifungwa na Mbrazil Philippe Coutinho dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment