• HABARI MPYA

    Tuesday, September 13, 2016

    YANGA WALIVYOKAMUA LEO KAUNDA KUIPASHIA MWADUI YA JULIO

    Wachezaji wa Yanga kutoka kulia Andrew Vincent 'Dante', Donald Ngoma, Mbuyu Twite na Pato Ngonyani wakifanya mazoezi Uwanja wa Kaunda, Dar es Salaam leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumamosi wiki hii Uwanja wa Kambarage, Shinyanga dhidi ya wenyeji, Mwadui FC ya kocha Jamhuri Kihwelo 'Julio'
    Simon Msuva na Haruna Niyonzima (kulia)
    Kocha Mholanzi, Hans van der Pluijm (kushoto) akizingumza na beki Mtogo, Vincent Bossou mwenye asili ya Togo
    Kutoka kulia Msuva, Kessy na Deus Kaseke
    Beki Juma Abdul akikimbia
    Malimi Busungu (kulia) na Geofrey Mwashiuya (kushoto)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA WALIVYOKAMUA LEO KAUNDA KUIPASHIA MWADUI YA JULIO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top