Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la City lilifungwa na Raheem Sterling wakati la Swansea lilifungwa na Llorente PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment