Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la City lilifungwa na Raheem Sterling wakati la Swansea lilifungwa na Llorente PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment