Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool star agrees new long-term deal on improved terms with club after
playing key role in title success
-
The Netherlands International has become an increasingly important figure
at the club and he was an influential presence in last season's
title-winning cam...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment