• HABARI MPYA

    Saturday, September 24, 2016

    BARCELONA YASHINDA 5-0 UGENINI LA LIGA

    Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barcelona katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Sporting Gijon Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Rafinha, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YASHINDA 5-0 UGENINI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top