• HABARI MPYA

    Wednesday, September 28, 2016

    LEICESTER CITY YAILAZA PORTO 1-0 LGI YA MABINGWA

    Mchezaji mpya wa Leicester City, Islam Slimani akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao pekee la ushindi timu hiyo ikiilaza 1-0 Porto ya Ureno katika mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa King Power, Leicester mjini Leicestershire PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER CITY YAILAZA PORTO 1-0 LGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top