Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamepagawa baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal nyumbani Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga wakishindwa kuendeleza wimbi la ushindi. Sergio Ramos alisababisha penalti iliyowapa Villarreal bao la kuongopza dakika ya 45 lililofungwa na Bruno Soriano, lakini akaisawazishia Real Madrid dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment