Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Wrexham vs Chelsea on TV? Channel, kick-off time and how to watch FA Cup
tie
-
Everything you need to know as Liam Rosenior’s side take on Wrexham for a
place in the quarter-finals of the FA Cup
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment