Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akiifungia timu yake dakika ya 43 katika sare ya 2-2 na Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal Iduna Park. Bao lingine la Dortmund limefungwa ma Andre Schurrle dakika ya 87, wakati ya Real yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 17 na Raphael Varane dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Wrexham vs Chelsea on TV? Channel, kick-off time and how to watch FA Cup
tie
-
Everything you need to know as Liam Rosenior’s side take on Wrexham for a
place in the quarter-finals of the FA Cup
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment