Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akiifungia timu yake dakika ya 43 katika sare ya 2-2 na Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal Iduna Park. Bao lingine la Dortmund limefungwa ma Andre Schurrle dakika ya 87, wakati ya Real yamefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 17 na Raphael Varane dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment