Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment