Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Lyanga akikabidhiwa mkataba wake na kiongozi wa Fanja jana baada ya kufuzu majaribio. Lyanga awali alifanya majaribio Oman Club, ambako pamoja na kufuzu hakusaini, akasaini Fanja mkataba wa miaka miwili. Haijajulikana Simba SC imemuuza kwa kiasi gani cha fedha mchezaji huyu.
Liverpool star agrees new long-term deal on improved terms with club after
playing key role in title success
-
The Netherlands International has become an increasingly important figure
at the club and he was an influential presence in last season's
title-winning cam...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment