• HABARI MPYA

    Thursday, September 29, 2016

    ATLETICO MADRID YAILAZA 1-0 BAYERN MUNICH

    Yannick-Ferreira Carrasco akimtungua kipa Manuel Neuer dakika ya 35 kuifungia bao pekee la ushindi Atletico Madrid ikiilaza 1-0 Bayern Munich usiku huu katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Vicente Calderón mjini Madrid, Hispani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ATLETICO MADRID YAILAZA 1-0 BAYERN MUNICH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top