Kiungo mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 89, Paul Pogba akiruka juu kuifungia timu hiyo bao la nne dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yalifungwa na Chir Smalling dakika ya 22, Juan Mata dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ANOTHER Formula One star is single! Kimi Antonelli's girlfriend announces
break-up with Mercedes driver just a week before he races at the Australian
Grand Prix - after Lando Norris confirmed his split with Magui Corceiro
-
Kimi Antonelli's girlfriend Eliska Bábíčková, has announced that the pair
have broken up on the eve of the new Formula One season.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment