Kiungo mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 89, Paul Pogba akiruka juu kuifungia timu hiyo bao la nne dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yalifungwa na Chir Smalling dakika ya 22, Juan Mata dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment