• HABARI MPYA

    Wednesday, September 21, 2016

    WAKALI HAWA WALIWAPA RAHA WANANCHI WAKATI WANACHEZA

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiingia Uwanja wa CCM Kirumba mwaka 2001 wakati wa michuano ya CECAFA Castle, ambayo walifanikiwa kuchukua ubingwa. Kutoka kulia ni Meneja wa uwanja huo, John Tegete, Nteze John, Said Maulid ‘SMG’, Suleiman Matola, John Mwansasu na Waziri Mahadhi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAKALI HAWA WALIWAPA RAHA WANANCHI WAKATI WANACHEZA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top