Adam Lallana akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner kwa penalti mawili dakika ya 30 na 71, Sadio Mane dakika ya 36 na Philippe Coutinho dakika ya 52, wakati bao pekee la Hull lilifungwa na David Meyler dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment