• HABARI MPYA

    Saturday, September 24, 2016

    LIVERPOOL YAIFUMUA 5-1 HULL CITY

    Adam Lallana akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner kwa penalti mawili dakika ya 30 na 71, Sadio Mane dakika ya 36 na Philippe Coutinho dakika ya 52, wakati bao pekee la Hull lilifungwa na David Meyler dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAIFUMUA 5-1 HULL CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top