Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is Wrexham vs Chelsea on TV? Channel, kick-off time and how to watch FA Cup
tie
-
Everything you need to know as Liam Rosenior’s side take on Wrexham for a
place in the quarter-finals of the FA Cup
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment