Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment