Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool star agrees new long-term deal on improved terms with club after
playing key role in title success
-
The Netherlands International has become an increasingly important figure
at the club and he was an influential presence in last season's
title-winning cam...
45 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment