Mario Balotelli akiifungia Nice bao la pili dakika ya 30 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco kwenye Ligi ya Ufaransa Jumatano Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Balotelli alifunga pia bao la tatu dakika ya 68, wakati mebao mengine yalifungwa na Paul Baysse NA Alassane Plea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool star agrees new long-term deal on improved terms with club after
playing key role in title success
-
The Netherlands International has become an increasingly important figure
at the club and he was an influential presence in last season's
title-winning cam...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment