Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wao wa kwanza Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Man United iliyo chini ya kocha mpya, Mreno Jose Mourinho yamefungwa na Juan Mata dakika ya 40 na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 59, wakati la Bournemouth limefungwa na Adam Smith dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mali's government moves to impose fuel rationing as al-Qaida-linked attacks
cut off supplies
-
LAGOS, Nigeria (AP) — Mali’s government has moved to impose fuel rationing
to counter widespread shortages caused by al-Qaida-linked groups operating
in th...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment