• HABARI MPYA

    Sunday, August 14, 2016

    ZLATAN AENDELEZA MOTO WA MABAO MAN UNITED IKIUA 3-1 ENGLAND

    Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wao wa kwanza Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Man United iliyo chini ya kocha mpya, Mreno Jose Mourinho yamefungwa na Juan Mata dakika ya 40 na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 59, wakati la Bournemouth limefungwa na Adam Smith dakika ya 69  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ZLATAN AENDELEZA MOTO WA MABAO MAN UNITED IKIUA 3-1 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top