Mwanariadha Usain Bolt akishangilia baada ya kushinda Medali ya Dhahabu ya mbio za mita 400 katika Olimpiki ya Rio 2016. Hiyo inakuwa Medali ya tatu ya dhahabu kwa Bolt, baada ya awali kushinda katika mita 100 na 200, hivyo kurudia mafanikio ya Olimpiki za Beijing 2008 na London 2012 aliposhinda Medali zote hizo tatu za dhahabu katika mbio hizo, Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 jana alikimbia mbio zake za mwisho mjini Olimpiki ya 2016 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment