Wanachama wa Yanga wakiwa ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga, Dar es Salaam tayari kwa Mkutano Mkuu wa dharula ulioitishwa na Mwenyekiti wao, Yussuf Manji
Lakini wengi hawajui sababu za Mwenyekiti kuitisha Mkutano wa dharula, hivyo wanatafakari
Wanachama wamejitokeza kwa wingi kuashiria kwamba wanaipenda klabu yao |
Lakini wengi hawajui sababu za Mwenyekiti kuitisha Mkutano wa dharula, hivyo wanatafakari
0 comments:
Post a Comment