Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib (katikati) akiwania mpira wa juu dhidi ya beki wa URA jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mnavugo (kushoto) akijivuta kufumua shuti mbele ya beki wa URA
Winga wa Simba, Shizza Kichuya akitafuta maarifa ya kumpira beki wa URA
Ibrahim Hajib akitafuta maarifa ya kumpita beki wa URA
Kikosi cha cha Simba kilichoanza jana dhidi ya URA
Kikosi cha URA katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment