• HABARI MPYA

    Thursday, August 04, 2016

    OSCAR APIGA MBILI, CHELSEA YAIZABA 3-1 AC MILAN

    Oscar (kushoto) akipongezwa na mwenzake baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan katika mechi ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Minesota, Marekani usiku wa kuamkia leo. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Bertrand Traore, wakati la AC Milan lilifungwa na Gianluigi Donnarumma PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OSCAR APIGA MBILI, CHELSEA YAIZABA 3-1 AC MILAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top