MAVUGO ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC LEO, HUYU MTU KWELI NOMA!
Mshambuliaji mpya wa Simba, Laudit mavugo (kushoto) akitafakari aende pande zipi baada ya kufanikiwa kumchenga kiungo Mohamed 'Mo' Ibrahim katika mazoezi ya timu hiyo leo asubuhi Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam
Mavugo kama anatoa pasi, kumbe anauweka njiani aanze safari
Mavugo amefunga mabehewa safari hiyo inaendelea
Hapa ni kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto Mwitula akimfundishga vitu mdogo wake Jonas Gerald Mkude
Hapa ni kiungo Peter Mwalyanzi (kushoto) akipambana na beki mpya, Hamad Juma kutoka Coastal Union
Kushoto ni winga mwenye kasi, Shizza Kichuya akitafuta maarifa ya kumtoka beki makini, Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment