• HABARI MPYA

    Friday, August 05, 2016

    MAVUGO ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC LEO, HUYU MTU KWELI NOMA!

    Mshambuliaji mpya wa Simba, Laudit mavugo (kushoto) akitafakari aende pande zipi baada ya kufanikiwa kumchenga kiungo Mohamed 'Mo' Ibrahim katika mazoezi ya timu hiyo leo asubuhi Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam
     Mavugo kama anatoa pasi, kumbe anauweka njiani aanze safari
     Mavugo amefunga mabehewa safari hiyo inaendelea
    Hapa ni kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto Mwitula akimfundishga vitu mdogo wake Jonas Gerald Mkude
    Hapa ni kiungo Peter Mwalyanzi (kushoto) akipambana na beki mpya, Hamad Juma kutoka Coastal Union 
    Kushoto ni winga mwenye kasi, Shizza Kichuya akitafuta maarifa ya kumtoka beki makini, Mohammed Hussein 'Tshabalala'
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAVUGO ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC LEO, HUYU MTU KWELI NOMA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top