Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Sunderland, Patrick van Aanholt kwenye boksi na kuwa penalti ambayo ilifungwa na Sergio Aguero dakika ya nne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Man City iliyo chini ya kocha mpya, Pep Guardiola ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Aguero na Paddy McNair aliyejifunga dakika ya 87 wakati la Suderland lilifungwa na Jermain Defoe PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anreiseinformationen für das U23-Heimspiel gegen Mannheim
-
Am Samstag um 14 Uhr trifft die U23 von Borussia Dortmund im Stadion Rote
Erde auf den SV Waldhof Mannheim. Aufgrund einer Baustelle auf der
Strobelallee i...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment