Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Sunderland, Patrick van Aanholt kwenye boksi na kuwa penalti ambayo ilifungwa na Sergio Aguero dakika ya nne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Man City iliyo chini ya kocha mpya, Pep Guardiola ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Aguero na Paddy McNair aliyejifunga dakika ya 87 wakati la Suderland lilifungwa na Jermain Defoe PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Georgetown secures 81-78 win against Providence
-
PROVIDENCE, R.I. (AP) — KJ Lewis scored 21 of his 26 points after halftime
in Georgetown's 81-78 victory over Providence on Saturday to end the Hoyas'
six-...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment