Robert Snodgrass (juu) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hull City ikiwalaza 2-1 mabingwa watetezi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa KCOM. Bao lingine la Adama Diomande wakati la Leicester lilifungwa na Riyad Mahrez kwa penalti baada ya Tom Huddlestone kumchezea rafu Demarai Gray PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dak Prescott Rumors: QB's Stance on Contract Revealed as Cowboys Deny False
Narrative
-
Despite not having a sense of urgency to get a contract extension done with
Dak Prescott, the Dallas Cowboys aren't necessarily looking to move on from
their…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment