• HABARI MPYA

    Saturday, August 13, 2016

    MABINGWA LEICESTER WAANZA VIBAYA, WACHAPWA 2-1 NA HULL CITY

    Robert Snodgrass (juu) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hull City ikiwalaza 2-1 mabingwa watetezi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa KCOM. Bao lingine la Adama Diomande wakati la Leicester lilifungwa na Riyad Mahrez kwa penalti baada ya Tom Huddlestone kumchezea rafu Demarai Gray PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA LEICESTER WAANZA VIBAYA, WACHAPWA 2-1 NA HULL CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top