• HABARI MPYA

    Sunday, August 14, 2016

    LIVERPOOL WAICHARAZA ARSENAL PALE PALE EMIRATES...4-3 BABAKE!

    Wachezaji wa Liverpool wakimrukia kocha wao, Jurgen Klopp kushangilia ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji, Arsenal Uwanja wa Emirates leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho mawili, Adam Lallana na Sadio Mane, wakati ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott aliyekosa penalti pia, Alex Oxlade-Chamberlain na Calum Chambers  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL WAICHARAZA ARSENAL PALE PALE EMIRATES...4-3 BABAKE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top