Wachezaji wa Liverpool wakimrukia kocha wao, Jurgen Klopp kushangilia ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji, Arsenal Uwanja wa Emirates leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho mawili, Adam Lallana na Sadio Mane, wakati ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott aliyekosa penalti pia, Alex Oxlade-Chamberlain na Calum Chambers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Exec on Caleb Williams: 'He's Built Different' Than Panthers' Bryce
Young
-
Like Bryce Young, the No. 1 pick of the 2023 draft, prospective top 2024
selection Caleb Williams is smaller than the average NFL quarterback. The
difference…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment