Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Man United ikishinda 2-0 dhidi ya Southampton usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ibrahimovic ndiye aliyeifungia bao la pili pia timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA charges Tonali over alleged betting rules breaches
-
The Football Association charges Newcastle United midfielder Sandro Tonali
with misconduct in relation to alleged breaches of the governing body's
betting ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment