• HABARI MPYA

    Thursday, August 04, 2016

    BARCELONA YAICHAPA 4-2 LEICESTER CITY

    Mshambuliaji Luis Suarez (katikati) akiifungia Barcelona bao la pili katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City mjini Stockholm usiku wa kuamkia leo. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Munir mawili na Rafa Mujica, wakati ya Leicester yote yamefungwa na Ahmed Musa PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YAICHAPA 4-2 LEICESTER CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top