• HABARI MPYA

    Saturday, March 19, 2016

    LEICESTER YAZIDI KUUKARIBIA UBINGWA ENGLAND

    Riyad Mahrez (wa tatu kutoka kushoto) akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Leicester City kumpongeza baada ya kufunga bao pekee la ushindi dakika ya 34 wakiwalaza wenyeji Crystal Palace 1-0 Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LEICESTER YAZIDI KUUKARIBIA UBINGWA ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top