• HABARI MPYA

    Saturday, March 19, 2016

    CHELSEA YABANWA SARE 2-2 NA WEST HAM

    Kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas akishangiliapu baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha katika sare ya 2-2 na West Ham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Fabregas pia wakati ya West Ham yamefungwa Manuel Lanzini na Andy Carroll PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YABANWA SARE 2-2 NA WEST HAM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top