Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's Jack Willis could miss a year after surgery on the knee injury he suffered against Italy
-
Willis was twisted out of a ruck in England's 41-18 win at Twickenham and
needed nearly 10 minutes of medical attention before being taken off. He
has now ...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment