• HABARI MPYA

    Wednesday, March 30, 2016

    RONALDO AFUNGA, URENO YASHINDA 2-1 NYUMBANI

    Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA, URENO YASHINDA 2-1 NYUMBANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top