Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akifunga kwa penalti katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia jana dhidi ya Bolivia, timu yake ikishinda 2-0 mjini Cordoba, bao lingine likifungwa na Gabriel Mercado PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dani Alves akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kusawazsha dakika za lala salama ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji Paraguay. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Ricardo Oliveira, wakati ya Paraguay yamefungwa na Dario Lezcano and Edgar Benitez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment