• HABARI MPYA

    Wednesday, March 23, 2016

    ULIMWENGU VIPI TENA, ATACHEZA LEO?

    Daktari wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, akimnyoosha misuli mshambuliaji wa timu hiyo, Thomas Ulimwengu jana kwenye Uwanja wa Omnisports Idriss Mahamat Ouya mjini D’jamena wakati wa mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo dhidi ya Chad leo kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika

    Ulimwengu alionekana kabisa kuugulia maumivu wakati wakinyoosha misuli

    Ulimwengu akinyooshwa misuli ya mguu wake wa kushoto wenye nguvu zaidi ya kufumua mashuti

    Na Ulimwengu alimkimbilia Daktari baada ya kupiga shuti kali kwenye mazoezi ya jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ULIMWENGU VIPI TENA, ATACHEZA LEO? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top