• HABARI MPYA

    Tuesday, March 22, 2016

    MTIZI WA MWISHO STARS KABLA YA KUIVAA CHAD

    Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu akipambana kuondoka na mpira dhidi ya wachezaji wenzake katika mazoezi ya Taifa Stars jioni ya leo Uwanja wa Uwanja wa Omnisports Idriss Mahamat Ouya mjini D’jamena kujiandaa na mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya wenyeji kesjho kwenye Uwanja huo 

    Mshmbauliaji John Bocco kulia akimiliki mpira pembeni ya beki Shomary Kapombe

    Kiungo Mohammed Ibrahim akipasua katikati ya Ibrahim Hajib (kulia) na Juma Abdul (kushoto) 

    Kiungo Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya kiungo Shizza Kichuya

    Kiungo Mwinyi Kazimoto akifanya vitu vyake katika mazoezi leo 

    Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia) akimiliki mpira pembeni ya kiungo Farid Mussa 

    Kiungo Jonas Mkude akimlamba chenga beki Juma Abdul katika mazoezi matamu leo

    Mabeki Mohammed Hussein 'Tshabalala' kulia na Erasto Nyoni (kushoto) wakigombea mpira

    Washambuliaji tegemeo wa Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia) na Thomas Ulimwengu (kushoto) mazoezini leo

    Makocha Charles Boniface Mkwasa na Hemed Morocco wakisimamia mazoezi leo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTIZI WA MWISHO STARS KABLA YA KUIVAA CHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top