• HABARI MPYA

    Tuesday, March 22, 2016

    FUNGU LA MWISHO STARS LILIVYOPAA CHAD ALFAJIRI HII

    Nahodha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, John Raphael Bocco (kushoto) akiwa kwenye mgahawa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Alfajiri hii wakati wa safari ya kwenda D’jamena, Chad kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya wenyeji Jumatano. Kulia ni Himid Mao
    Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Martin Chacha, kipa Aishi Manula, beki David Mwantika na kiungo Farid Mussa 

    Katikati ni Mkuu wa Msafara, Ravia Idarus, ambaye pia ni Rais wa ZFA

    Katikati ni beki Shomary kapombe akiwa na wachezaji wenzake wa Azam FC, Himid na Bocco

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FUNGU LA MWISHO STARS LILIVYOPAA CHAD ALFAJIRI HII Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top