Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba (katikati) akiruka juu kupiga mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wenyeji Uholanzi mjini Amsterdam usiku wa jana. Ufaransa ilishinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Antoine Griezmann, Olivier Giroud na Blaise Matuidi wakati ya Uholanzi yalifungwa na Luuk de Jong na Ibrahim Afellay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dan Biggar out of Northampton's clash with Harlequins but could return for Wales' Six Nations bid
-
Dan Biggar is to miss Northampton's tie against Harlequins on Sunday with a
leg injury picked up in the England win - but Wales are confident he will
retur...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment