• HABARI MPYA

    Saturday, March 26, 2016

    UFARANSA YAIKANYAGA UHOLANZI NYUMBANI 'GEMU LA KISHKAJI'

    Kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba (katikati) akiruka juu kupiga mpira katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wenyeji Uholanzi mjini Amsterdam usiku wa jana. Ufaransa ilishinda 3-2 mabao yake yakifungwa na Antoine Griezmann, Olivier Giroud na Blaise Matuidi wakati ya Uholanzi yalifungwa na Luuk de Jong na Ibrahim Afellay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YAIKANYAGA UHOLANZI NYUMBANI 'GEMU LA KISHKAJI' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top