• HABARI MPYA

    Sunday, March 20, 2016

    BARCELONA YAPUNGUZWA KASI LA LIGA

    Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA YAPUNGUZWA KASI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top