Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
North Carolina Routs Duke 91-73 to Sweep ACC Rivalry's Season Series
-
North Carolina made quick work of Duke for a 91-73 victory at the Dean
Smith Center on Saturday as UNC finished off a season sweep over its bitter
rival...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment