Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment