Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu, wa pili kushoto) akisalimiana na Nahodha wa Majimaji ya Songea, Omar Kapilima kabla ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri mwaka 1999 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Majimaji ilifungwa 3-0, Mwingine kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF) Subira Mambo (sasa marehemu pia)
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment