Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe (kushoto) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 baada ya kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mwezi Januari leo asubuhi viwanja vya Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kutoka kwa wadhamini wakuu wa ligi hiyo, Kampuni ya Vodacom Tanzania. Wengine kutoka kulia ni Ofisa wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Joel Balisidya, Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom, Ibrahim Kaude na Meneja wa Azam, Luckson Kakolaki
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment