• HABARI MPYA

    Sunday, March 27, 2016

    ENGLAND YAIPIGA 3-2 UJERUMANI KIRAFIKI BERLIN

    Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND YAIPIGA 3-2 UJERUMANI KIRAFIKI BERLIN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top