• HABARI MPYA

    Thursday, March 17, 2016

    AZAM NA STAND UNITED KATIKA PICHA

    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche akiwalamba chenga wachezaji wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0
    Beki Shomary Kapombe wa Azam FC akimiliki mpira mbele ya beki wa Stand United, Suleiman Mrisho
    Mshambuliaji wa Azam FC, Allan Wanga akimtoka beki wa Stand United, Suleiman Mrisho
    Beki wa Stand United, Revocatus Richard akiondosha mpira kwenye hatari mbele ya mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche
    Winga wa Azam FC, Farid Mussa (kulia) akimtoka kiungo wa Stand United, Amri Kiemba nyuma yake, huku Nassor Masoud 'Chollo' akiwa tayari kutoa msaada
    Nassor Masoud 'Chollo' akimiliki mpira katika ya wachezaji wa Azam FC

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM NA STAND UNITED KATIKA PICHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top