• HABARI MPYA

    Saturday, March 19, 2016

    AZAM FC WALIVYOKAMUA JANA CHAMAZI

    Kipa wa Azam FC, Aishi Manula (juu) akidaka mpira wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini 
    Beki Erasto Nyoni akiondoka na mpira mbele ya mshambuliaji Mkenya, Allan Wanga
    Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita kiungo mwenzake, Frank Domayo
    Kiungo Himid Mao akikimbilia mpira mbele ya mshambuliaji Mrundi, Didier Kavumbangu
    Kocha wa makipa, Iddi Abubakar (wa pili kulia) akiwapa maneno vijana wake
    Kiungo wa Ivory Coast, Kipre Balou akimiliki mpira mbele ya viungo wenzake, Sure Boy na Mudathir Yahya (kushoto)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC WALIVYOKAMUA JANA CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top