Refa akimuondoa bondia Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) baada ya kumuangusha mpinzani wake, Mcuba Luis Ortiz raundi ya saba ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas na kufanikiwa kutetea taji lake la WBC uzito wa juu kwa ushindi wa Knockout (KO). Hiyo ilikuwa mara ya pili Wilder anamshinda Ortiz baada ya awali kumpiga kwa KO pia Mei mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Lampard 'set to be sacked by Chelsea TODAY'
-
Sunday's win over Luton Town to advance to the fifth round of the FA Cup
hasn't proved enough to save the former midfielder from the chop.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment