Mfaransa Alexandre Lacazette akiifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika sare ya 2-2 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Lacazette pia alifunga bao la kwanza la Arsenal dakika ya 18, wakati mabao ya Southampton yalifungwa na Danny Ings dakika ya nane na James Ward-Prowse dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slots breaks silence over Liverpool move, with Feyenoord boss
admitting 'it is no secret I'd like to go' and insisting he is 'confident
in the clubs reaching agreement' for him to succeed Jurgen Klopp
-
Arne Slot says he has every confidence that Liverpool and Feyenoord will
soon reach an agreement for him to become the new Anfield boss next season.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment