Mfaransa Alexandre Lacazette akiifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika sare ya 2-2 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Lacazette pia alifunga bao la kwanza la Arsenal dakika ya 18, wakati mabao ya Southampton yalifungwa na Danny Ings dakika ya nane na James Ward-Prowse dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment