Mfaransa Alexandre Lacazette akiifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika sare ya 2-2 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Lacazette pia alifunga bao la kwanza la Arsenal dakika ya 18, wakati mabao ya Southampton yalifungwa na Danny Ings dakika ya nane na James Ward-Prowse dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Myron Boadu nets brace as AZ Alkmaar edge Feyenoord
-
Dutch-born Ghanaian forward Myron Boadu scored twice as AZ Alkmaar beat
Feyenoord in the Dutch Eredivise on Sunday night. The 20-year-old forward
shot Alk...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment