Mfaransa Alexandre Lacazette akiifungia Arsenal bao la kusawazisha dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika sare ya 2-2 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Lacazette pia alifunga bao la kwanza la Arsenal dakika ya 18, wakati mabao ya Southampton yalifungwa na Danny Ings dakika ya nane na James Ward-Prowse dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United left back Luke Shaw laughs off his 'Shawberto Carlos' nickname
-
Shaw has been one of Ole Gunnar Solskjaer's star men this season and as a
result of his marauding style down the left wing, fans have compared him to
Real ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment