Beki Virgil van Dijk akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 18 na 24 mara zote akiimalizia kazi nzuri za Trent Alexander-Arnold katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 79 katika mchezo ambao kipa wa Liverpool, Alisson alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 76 kwa kudakia mpira nje ya eneo lake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'Wembley' tweet IMMEDIATELY after rivals City lose on
penalties to Real Madrid has fans in stitches as the Red Devils prepare for
FA Cup semi-final with Coventry
-
Manchester United's 'Wembley' tweet immediately after Man City lost on
penalties had fans in stitches on Wednesday night.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment