Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kusababisha mabao mawili na kufunga moja katika ushindi wa 3-1 wa Real Madrid dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu jana. Willian Jose alianza kuwafungia wageni dakika ya pili tu kabla ya Karim Benzema kuisawazishia Real dakika ya 37, Federico Valverde kufunga la pili dakika ya 47 wote wakimalizia pasi za Luka Modric aliyefunga bao la tatu dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Myron Boadu nets brace as AZ Alkmaar edge Feyenoord
-
Dutch-born Ghanaian forward Myron Boadu scored twice as AZ Alkmaar beat
Feyenoord in the Dutch Eredivise on Sunday night. The 20-year-old forward
shot Alk...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment