Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kusababisha mabao mawili na kufunga moja katika ushindi wa 3-1 wa Real Madrid dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu jana. Willian Jose alianza kuwafungia wageni dakika ya pili tu kabla ya Karim Benzema kuisawazishia Real dakika ya 37, Federico Valverde kufunga la pili dakika ya 47 wote wakimalizia pasi za Luka Modric aliyefunga bao la tatu dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taylor Swift's ode to Travis Kelce on new album! Fans go wild over lyrics
about 'touchdowns' and 'Chiefs chanting' on track The Alchemy from The
Tortured Poets Department: 'Trying to be the greatest in the league'
-
Taylor Swift has dropped her new album and the penultimate song appears to
contain multiple references to football and her boyfriend, Travis Kelce.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment