• HABARI MPYA

    Monday, November 18, 2019

    KANE NA RASHFORD WOTE WAFUNGA ENGLAND YAIPIGA KOSOVO 4-0

    Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE NA RASHFORD WOTE WAFUNGA ENGLAND YAIPIGA KOSOVO 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top