Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta hints that he knows who Arsenal's dressing room mole is
-
Arteta warned there would be 'consequences' for any Arsenal employee who
had spilled the beans on a training ground bust-up involving Dani Ceballos
and Dav...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment