ALIYEKUWA Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar, Dk. Omar Ally Juma (sasa marehemu) akimsabahi kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hussein Amaan Marsha (kulia) kabla ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 1996 dhidi ya Uganda Septemba 3, 1994 uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Taifa Stars ilishinda 4-0 mabao ya Bure Salehe dakika ya tano, Edibily Lunyamila dakika ya tisa na 88 na Nteze John dakika ya 13
Learn how to throw an 'icy' right hand with Viddal Riley
-
Boxer Viddal Riley demonstrates how to throw an "icy" right hand before his
fight against Mikael Lawal.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment