ALIYEKUWA Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar, Dk. Omar Ally Juma (sasa marehemu) akimsabahi kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hussein Amaan Marsha (kulia) kabla ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 1996 dhidi ya Uganda Septemba 3, 1994 uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Taifa Stars ilishinda 4-0 mabao ya Bure Salehe dakika ya tano, Edibily Lunyamila dakika ya tisa na 88 na Nteze John dakika ya 13
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment